MAMBO KAMA YALIVYO NJE YA TANZANIA

Tuesday 6 March 2012

SAUZI; MALIPO YA DALADALA KWA 'VOCHA'

15:40 By Mindset


TAP- I -FARE ni huduma inayomuwezesha abiria kulipia usafiri wa daladala kwa kutumia kadi maalum badala ya kutumia fedha taslimu.

Huduma hii imeanza rasmi huko Cape Town, Afrika Kusini na kwa sasa ipo katika kipindi cha majaribio.

Huduma hii inaendeshwa na kampuni ya Integrated Fare Collection Servives (Pty)Ltd (IFCS).
Maelezo kwa hisani ya http://tapifare.com/

0 comments: