MAMBO KAMA YALIVYO NJE YA TANZANIA

Wednesday 5 October 2011

HUDUMA HII YA BENKI, WE ACHA TUU

13:24 By Mindset


Benki nyingi hapa Sauzi zina huduma ya moja kwa moja (automatic) kukuambia nini kinaendelea katika akaunti yako.

Yaani mara tuu fedha inapoingia kwa akaunti, muda huo huo unapata meseji kwa simu yako kuwa fedha imeingia, na kama imetoka pia wakati huo huo unapata meseji.

Hii ina maana kama umemtuma mtu akakuwekee fedha, atakudanyaje kama aliweka, kumbe hakuweka ?

Pichani ni moja ya meseji iliyoingia baada ya rafiki yangu wa Kisauzi kuwekewa fedha na jamaa yake wa town nyingine. Capitec ni moja ya benki hapa Sauzi.

John.
Sauzi

1 comments:

Maria said...

Interesting! Our banks need to introduce this type of service!